Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Nimekupendaaaa....

Leo nimeshtuka asubuh sijui nlipoweka cm..

Nimezungunga balaa only to find it under the pillow.

Konyagi nomaa...
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Inabidi ukazimue
Weekend huwa sikosei Mkuu....

I must come home with a take away.

Nlipo iona tu simu..
Nikalianzisha... Mdogomdogo navuta hapa.

Ma meseji sasa na missd callss nloyakuta toka kwa wife..noumer...

😂😂😂
 
Hiyo huwa inanifanya kichaa. Mimi labda gin ambayo naweka tonic na limau kwa wingi. Mimi White wine tuu but dry.
Waoh...

So nice of u..

Okay..fanya hizo mixer bas..mafua yatakata fasta.
 
Weekend huwa sikosei Mkuu....

I must come home with a take away.

Nlipo iona tu simu..
Nikalianzisha... Mdogomdogo navuta hapa.

Ma meseji sasa na missd callss nloyakuta toka kwa wife..noumer...

[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
.
Screenshot_20181007-074425~2.jpeg
 
Back
Top Bottom