[emoji23][emoji23][emoji23] hizo ni bao tatu mkuu[emoji15][emoji15][emoji15] nimekaa nao sijawahi kulisikia[emoji1562]
Hahahaha, mkuu hii siku ilikua hatari, uzuri asubuhi nimepasha moto nikapita nacho ,nikarudi tena pale pale carnival kuendeleaHe he he hii ya kubeba msosi halafu unaukuta asubuhi imenikuta sana..sema mimi nikiwa tungi ni mchoyo sana wa msosi inanisaidia kutoopoa dada poa naona atanimalizia msosi tu.inanisaidia sana kukwepa kuibiwa maana zima ya nyagi ni balaa
Mkuu hii energy drink ni noma aseee ni Mkuyati tosha sasa naona unachanganya na konyagi hapo balaa utatoa povu tu aseeeee. Hii ndo inaitwa walipa kodi wazuriMuda wa kula gambe umefika
Kino,sinza na viunga vya karibu nataka kuwepo kuanzia saa 6-10 usikuWeka location fasta
He he he nipo kwa mangi aisee mbahili balaa hataki hata kupaka rangiNaona meza imepambwa na ramani ya dunia doctor[emoji23]
Ha ha ha jitahidi uwe unanunua kreti ili apate ela ya kupaka rangiHe he he nipo kwa mangi aisee mbahili balaa hataki hata kupaka rangi
Nko home tunafanya hvi sahvHabari za mchana walipa Kodi wenzangu
Ni kulipa kodi tuSafi tunyweni tulewe maisha mafupi haya
Ova
Sahv nataka nkalipe kodi kiwanja kimoja kimara korogweNi kulipa kodi tu