Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mkuu mambo ni mazuri hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Thaminisha mzigo Mkuu...
Kama unalipa tembea nae.

Mimi kuna mtu aliniita asubuh..nikamfuata nikamwbie twende myumbani akagoma...nikamuacha.
Alitaka anile bure.
 
Wakuu kuna mwanamke kaniganda sana hapa....
Sikutaka toka leo..nlirudi na package ya kutosha jana.

Amemtuma mtu aje niita aisee...
Mpe atakacho ataganduka mwenyewe[emoji1787]
 
Mambo bambam[emoji4]
20181007_131934.jpeg
 
Yaani hapa ninapolipa kodi kuna mmama analipa kodi hapa alafu anamtuma muhudumu kwangu anamwambia mwambie yule kijana mamaake anataka bia sasa najiuliza huyu mama wa ghafla nimempata wapi mm jamaniii[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 889340
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] MPE tu, utajua uhusiano ni wa jinsia ipi
 
Niliwahi kupiga konyagi kubwa kadhaa pale safari carnival ,nilikua nakaa mikocheni B, flat za BIMA siku kuna chuo nasikia, sijui nilifikaje ,

Barabara nilivukaje sijui ,mbaya zaidi sikuruka dimbwi la maji hata moja,nilizima sebuleni na kipaseli changu cha chips kipaja pembeni niliviona asubuhi
He he he hii ya kubeba msosi halafu unaukuta asubuhi imenikuta sana..sema mimi nikiwa tungi ni mchoyo sana wa msosi inanisaidia kutoopoa dada poa naona atanimalizia msosi tu.inanisaidia sana kukwepa kuibiwa maana zima ya nyagi ni balaa
 
Back
Top Bottom