blance86
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,138
- 5,632
Mkuu nilikuwa mdau tuu unamjua abraham now yupo air tell dom
Mkuu we ndugu yangu kbsa.....ulikua RAD au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu we ndugu yangu kbsa.....ulikua RAD au?
Thaminisha mzigo Mkuu...
Kama unalipa tembea nae.
Mimi kuna mtu aliniita asubuh..nikamfuata nikamwbie twende myumbani akagoma...nikamuacha.
Alitaka anile bure.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] MPE tu, utajua uhusiano ni wa jinsia ipiYaani hapa ninapolipa kodi kuna mmama analipa kodi hapa alafu anamtuma muhudumu kwangu anamwambia mwambie yule kijana mamaake anataka bia sasa najiuliza huyu mama wa ghafla nimempata wapi mm jamaniii[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 889340
Mambo ni mazuri sanaaaaaaa hapa nilipo nadhani atapata tako tatu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] MPE tu, utajua uhusiano ni wa jinsia ipi
Tako tatuu[emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]Atapata nini?[emoji15][emoji15][emoji36][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23]
Pombe noma sanaa mkuu ananiambia ujue we kijana nakupenda sanaa[emoji23][emoji23][emoji23]Mwambie akitaka cha UVUNGUNI sharti ainame asichuchumae
Mmmh kwa mara ya kwanza ndio nasikia tako witiri[emoji23][emoji36][emoji15]
Nope ma RAD wengi siwajui mkuu me nimeingia pale April mwaka Jana then nikaletwa kwenye zile projects za rural till leoMkuu nilikuwa mdau tuu unamjua abraham now yupo air tell dom
Ohoooo mkuu usisahau ile kitu inaitwa "Kinga"tuPombe noma sanaa mkuu ananiambia ujue we kijana nakupenda sanaa[emoji23][emoji23][emoji23]
He he he hii ya kubeba msosi halafu unaukuta asubuhi imenikuta sana..sema mimi nikiwa tungi ni mchoyo sana wa msosi inanisaidia kutoopoa dada poa naona atanimalizia msosi tu.inanisaidia sana kukwepa kuibiwa maana zima ya nyagi ni balaaNiliwahi kupiga konyagi kubwa kadhaa pale safari carnival ,nilikua nakaa mikocheni B, flat za BIMA siku kuna chuo nasikia, sijui nilifikaje ,
Barabara nilivukaje sijui ,mbaya zaidi sikuruka dimbwi la maji hata moja,nilizima sebuleni na kipaseli changu cha chips kipaja pembeni niliviona asubuhi
Mambo ni fire hapa uku nikicheki chama langu arsenalView attachment 889553View attachment 889555