mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Hawai ndy napita sahv nlikuwa toroka uje ya zamani korogweKimara Hawaii pub?
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawai ndy napita sahv nlikuwa toroka uje ya zamani korogweKimara Hawaii pub?
Katibu ujanijibu kuhusu Katumba kino asee??na km mzee Katumba badoo yupooo??Oiii
Ova
Hahaha, hii katumba kino mkwajuni siku moja Niko pale asubuhi natoka Twanga pepeta na Dada mmoja wakuitwa Anti Lulu ,ghafla nasikia inapigwa mnada ,asee nilicheka sana siku hy ,na Mzee mwenyewe alikuwepoKatibu ujanijibu kuhusu Katumba kino asee??na km mzee Katumba badoo yupooo??
MissileNdy natoka kimara hapa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
View attachment 890004View attachment 890005
Aise sijui kama yupo ila ntauliziaaKatibu ujanijibu kuhusu Katumba kino asee??na km mzee Katumba badoo yupooo??
Katumba bar ya matapeli enzi hizoHahaha, hii katumba kino mkwajuni siku moja Niko pale asubuhi natoka Twanga pepeta na Dada mmoja wakuitwa Anti Lulu ,ghafla nasikia inapigwa mnada ,asee nilicheka sana siku hy ,na Mzee mwenyewe alikuwepo
Kitungi kinaendelea na mnada ulikua unaendelea
Peace bar enzi hzo vigogo wa nchi tulikuwa tunajumuika pamoja ahhhhNimekiona kichanganyio vidoleni[emoji16]
Madalali wengi?,mie nilijikuta niko hapo alfajiri tunatafuta ugimbi na supu RAIA tuagane ,tukatua hapo katumba barKatumba bar ya matapeli enzi hizo
Peace ,kwenye kile kimzunguko wa magari km unaenda makumbusho ?Peace bar enzi hzo vigogo wa nchi tulikuwa tunajumuika pamoja ahhhh
Story nyingi tunazo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
Nasubiri mkasa huoDah hukosi kumfahamu Msuya kama unapafahamu piece ngoja nitakusimulia mkasa wa piece
Namjua!enzi hzo bar hii vigogo wazito wa nchi hii ilikuwa kijiwe chaoDah hukosi kumfahamu Msuya kama unapafahamu piece ngoja nitakusimulia mkasa wa piece
Mzee Cha tungi sanaaaa.....nimekunywa nae bia Sana paleeHahaha, hii katumba kino mkwajuni siku moja Niko pale asubuhi natoka Twanga pepeta na Dada mmoja wakuitwa Anti Lulu ,ghafla nasikia inapigwa mnada ,asee nilicheka sana siku hy ,na Mzee mwenyewe alikuwepo
Kitungi kinaendelea na mnada ulikua unaendelea
Km bonga bar kino au silver pipe mlalakua ,mashua tu kimya kimyaNamjua!enzi hzo bar hii vigogo wazito wa nchi hii ilikuwa kijiwe chao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nshavimbiana nao sana hapa
Kitambo
Ova