Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]***** sijui nimerudije home usiku...ngoja nimpapase wife asiponizingua najua nilirudi salama...
Kaka[emoji23][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]Kitia nyege[emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Nmetoka kutoa lock kwa mangi!fasta leo kaniambia nisinywe kwa kuremba maana wazee wa doria Wanazunguka nimepiga fundo 1 tu[emoji85][emoji85][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Dr kweli wewe kiboko maana Kuna l mdau mwingine juzi kamfungia mkewe nje [emoji3]***** sijui nimerudije home usiku...ngoja nimpapase wife asiponizingua najua nilirudi salama...
Punde wataturuhusu si ulimsikia rais wa Mkoa katoa ruhusa wkiendi mpaka saa 8 usiku badala ya saa 6 usikuNmetoka kutoa lock kwa mangi!fasta leo kaniambia nisinywe kwa kuremba maana wazee wa doria Wanazunguka nimepiga fundo 1 tu
Alafu mwenyekiti Inabidi tumuandikie barua waziri mhusika malalamiko yetu kuhusu muda wa kunywa maana wanatubana sana mbn wengine tumestuka sahv tunaenda kwenye pilika zetu
Ova
View attachment 890442
[emoji3] [emoji3] kilimo chetu kinasikilizwaPunde wataturuhusu si ulimsikia rais wa Mkoa katoa ruhusa wkiendi mpaka saa 8 usiku badala ya saa 6 usiku
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Dr kweli wewe kiboko maana Kuna l mdau mwingine juzi kamfungia mkewe nje [emoji3]
Wenza wetu Cha Moto wanakiona siku moja moja maana wakikukumbushia matukio ya jana yake, mtu unabaki unacheka tu [emoji3][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ova
Ila mangi nawaheshimu sana. Hawaachi helaNmetoka kutoa lock kwa mangi!fasta leo kaniambia nisinywe kwa kuremba maana wazee wa doria Wanazunguka nimepiga fundo 1 tu
Alafu mwenyekiti Inabidi tumuandikie barua waziri mhusika malalamiko yetu kuhusu muda wa kunywa maana wanatubana sana mbn wengine tumestuka sahv tunaenda kwenye pilika zetu
Ova
View attachment 890442
🤣🤣🤣🤣🤣***** sijui nimerudije home usiku...ngoja nimpapase wife asiponizingua najua nilirudi salama...
Natoa lock! Jana nimepiga vi imagi zaidi ya 10, nipo chalii[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ova