Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Jana nilisizi kinoma konyagi ndogo nne saa moja mpaka saa 5. Izo habari za vinanda hapo juu sikumbuki
 
cha tano hakikuisha. Ndo naamka
 

Attachments

  • IMG_20181008_080447.jpeg
    IMG_20181008_080447.jpeg
    64.4 KB · Views: 21
Nakumbuka alikuja urio. Katoa simu ina kinanda. Tulipiga sana vinanda kama RC vile.... kumbukumbu inarudi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu mbona mbio!
Hapa napata mtori wa nguvu na toti za
nyagi kuweka sawa mwili na akili!

Tunaendelea kulipa kodi bila shuruti!
 
[emoji85][emoji85][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Nmetoka kutoa lock kwa mangi!fasta leo kaniambia nisinywe kwa kuremba maana wazee wa doria Wanazunguka nimepiga fundo 1 tu
Alafu mwenyekiti Inabidi tumuandikie barua waziri mhusika malalamiko yetu kuhusu muda wa kunywa maana wanatubana sana mbn wengine tumestuka sahv tunaenda kwenye pilika zetu

Ova
20181008_095511.jpg
 
Nmetoka kutoa lock kwa mangi!fasta leo kaniambia nisinywe kwa kuremba maana wazee wa doria Wanazunguka nimepiga fundo 1 tu
Alafu mwenyekiti Inabidi tumuandikie barua waziri mhusika malalamiko yetu kuhusu muda wa kunywa maana wanatubana sana mbn wengine tumestuka sahv tunaenda kwenye pilika zetu

Ova
View attachment 890442
Punde wataturuhusu si ulimsikia rais wa Mkoa katoa ruhusa wkiendi mpaka saa 8 usiku badala ya saa 6 usiku
 
Nmetoka kutoa lock kwa mangi!fasta leo kaniambia nisinywe kwa kuremba maana wazee wa doria Wanazunguka nimepiga fundo 1 tu
Alafu mwenyekiti Inabidi tumuandikie barua waziri mhusika malalamiko yetu kuhusu muda wa kunywa maana wanatubana sana mbn wengine tumestuka sahv tunaenda kwenye pilika zetu

Ova
View attachment 890442
Ila mangi nawaheshimu sana. Hawaachi hela
 
Back
Top Bottom