Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Katibu ujanijibu kuhusu Katumba kino asee??na km mzee Katumba badoo yupooo??
Hahaha, hii katumba kino mkwajuni siku moja Niko pale asubuhi natoka Twanga pepeta na Dada mmoja wakuitwa Anti Lulu ,ghafla nasikia inapigwa mnada ,asee nilicheka sana siku hy ,na Mzee mwenyewe alikuwepo

Kitungi kinaendelea na mnada ulikua unaendelea
 
Dah hukosi kumfahamu Msuya kama unapafahamu piece ngoja nitakusimulia mkasa wa piece
Namjua!enzi hzo bar hii vigogo wazito wa nchi hii ilikuwa kijiwe chao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nshavimbiana nao sana hapa
Kitambo

Ova
 
Mzee Cha tungi sanaaaa.....nimekunywa nae bia Sana palee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…