Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekaaa sehemu kanifata mama mmoja anasema haiwezekani maana kila akinionaga anasema napigaga chicha[emoji23] [emoji23] Leo ksema tujumuike wote huyu mama huwa anafanyaga usafi barabara ya mwinjuma leo anasema anataka weekend angular aione na hjanywa bia Miaka kama 6 hvi na nlipomuliza yeye anapendeleaga bia gani anadai ni SAFARI LAGER[emoji23]
Kwa sababu na mimi ni mdau wa safari lager nkaona acha nimridhishe nafsi yke so wkend leo nko naye

Ova
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Katibu Mungu akubariki sana ....hakika utafika mbinguni
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Katibu Mungu akubariki sana ....hakika utafika mbinguni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Amina

Ova
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Katibu Mungu akubariki sana ....hakika utafika mbinguni
Anaenda ya 2 Dah mbn anakunywa kama "maji unamimia kwenye godoro ana nyonya tu [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Safi sana Katibu maana tunaambiwaga walevi tuna mioyo mikunjufu Sana kwenye maisha
 
Safi sana Katibu maana tunaambiwaga walevi tuna mioyo mikunjufu Sana kwenye maisha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acha nae alambe japo kadhaaa aione wekend.....Dah ila kaniacha hoi aliponambia ananionaga najipendele mwenyewe tu leo ktoa ya moyoni....utakuwa unampata hyu mama anaongea kama cherehani anapigaga usafi barabara ya mwinjuma ana story nyingi sana ukikaa naye........
Hapa wamepita madada wamevaa vikuku mguuni kote Dah amenipa definition yake
Nmebaki hoiiii [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…