Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Picha linaanza walinipima kilevi kidogo alcohol tester ipasukeee ilivukaaa
Zaidi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sooo ilikuwa kama unatokea Azania front si tunazunguka kushoto mm nkazungka kuliaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nko maji balaaaa kushuka jamaa wanasema haiwezkani uliendeahaje mbn uko kama maiti......ila mwisho wa siku kobakabanda alinitoaaa kesho yake ila kdg wanipeleke mahakamani [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
Maana Katibu hali ilionekana ulikuwa gauge imepanda kupita kiasi[emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1545][emoji1545][emoji1545]salama kabisa ...haya huko central imekuwaje tena!?
Nililala ILa kuna mwanangu pale kobakabanda alinitoaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kesho yake kama saa nane hvi
Ahh misala ilikuwa ndy zetu
Tangu siku hyo pombe na Gari noo

Ova
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Picha linaanza walinipima kilevi kidogo alcohol tester ipasukeee ilivukaaa
Zaidi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sooo ilikuwa kama unatokea Azania front si tunazunguka kushoto mm nkazungka kuliaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nko maji balaaaa kushuka jamaa wanasema haiwezkani uliendeahaje mbn uko kama maiti......ila mwisho wa siku kobakabanda alinitoaaa kesho yake ila kdg wanipeleke mahakamani [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
Daah rafiki punguza kulipa kodi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Picha linaanza walinipima kilevi kidogo alcohol tester ipasukeee ilivukaaa
Zaidi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sooo ilikuwa kama unatokea Azania front si tunazunguka kushoto mm nkazungka kuliaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nko maji balaaaa kushuka jamaa wanasema haiwezkani uliendeahaje mbn uko kama maiti......ila mwisho wa siku kobakabanda alinitoaaa kesho yake ila kdg wanipeleke mahakamani [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
katibu hii spidi tuwie radhi, ipungue kidogo, hatutaki kuku poteza mdau
 
Nililala ILa kuna mwanangu pale kobakabanda alinitoaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kesho yake kama saa nane hvi
Ahh misala ilikuwa ndy zetu
Tangu siku hyo pombe na Gari noo

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
katibu hii spidi tuwie radhi, ipungue kidogo, hatutaki kuku poteza mdau
Hahahaha

Ova
20181013_161519.jpg
20181013_161732.jpg
 
Nimeshapata kianzio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
IMG_20181013_161926_5.jpeg
 
Back
Top Bottom