Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Kumbe yametukuta wengi.
mm kuna siku nimepiga mzigo wa kutosha wakati naelekea nyumbani mida ya kama saa6 usiku si nkabanwa na aja ndogo nkapaki nkaenda jisaidia ile narudid nakuta jamaa wamepaki pembeni yangu

Nmefika nayumba nkawasalimia nkafungua mlango kama sijui kinachoendelea jamaa mmoja kaudaka mkono na kufunga mlango..nilishikwa na hasira nkataka kumkaba duuh! Walishuka kama mvua acha wanifanyie shambulizi na kunitupa kwenye gar yao .

Wakamuamuri mshkaji nliekua nae aendeshe gari awafuate nyuma ad kituoni

Nlikuja kutoka kesho yake saa4 si nkapewa kipimo nipulize duuh! Ad jamaa walihisi nliingia na pombe nyingine sero[emoji1787]

Sa iv kulewa vile nikiwa na gari labda niwe karibu na nyumbani
 
Hahaha pole mdau Dah

Ova
 
Mrangi, vikuku ni nini? Msinicheke sijalewa ila nimekunywa ba jameni.
 
Mrangi, vikuku ni nini? Msinicheke sijalewa ila nimekunywa ba jameni.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ah naona aibu kusema [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Vicheni vinavaliwa miguuni
Nashukuru maana wengine tunaishi dunia ya kweusi. Kumbe yale madhahabu ndo jina lake? Ningekunulia moja ila ninaweka vocha ili nifuatilie kama Mo na Ben watapatikana leo. Hivi Ben akipatikana tutaenda baa gani eti? Mo mswahilina ataenda kuchinjiwa mbuzi na kuku kama jana.
 
Ben Saanane pekeyake na chatu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562]
 
Navaaga kama urembo sijui maana nyingine inapendeza ukiwa umevaa kimini na kiatu kirefu hahahahah best ninunulie hayo mengine tutahadithiwa
 
Ben Saanane pekeyake na chatu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562]
Who's that?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…