Namtuma Mshana jr. akununulie maana nipo mikoani Katavi leo nikirudi nitamrudishia. cc; Mshana jr.Navaaga kama urembo sijui maana nyingine inapendeza ukiwa umevaa kimini na kiatu kirefu hahahahah best ninunulie hayo mengine tutahadithiwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mie navaa kama urembo tena nikipiga kimini hahahahaha uwiiii
[emoji23][emoji23][emoji23]shikamoo dada nilisahau kukusabahi ...kesho kuna retreat mikocheni na nimeambiwa nisikoseSasa na wewe unaniletea kiswahili cha Tanga? Kuna bidada kanieleza ni cheni za miguuni. Hiyo nimeipata. Unaenda kanisani kesho au ? Mimi bado nasubiri full moon.
Ya christian au ya huko mahala na shemeji yako?[emoji23][emoji23][emoji23]shikamoo dada nilisahau kukusabahi ...kesho kuna retreat mikocheni na nimeambiwa nisikose
Vyombo vinaongezeke maisha yanaendeleaKwa kweli tunabaguliwa sana, tunataka serikali itutambue haswa kipindi hiki cha kodi ni muhimu
Mwambie na yeye asiwe anaenda kusuka saluni awe anasukia home aone kama rahaNimefululiza kulewa last week ikabakia kidogo niachwe na wife.Eti niwe nanywea nyumbani mambo gani haya sasa!
Hivi nilikutumia picha za pagoda za last week?Ya shem dada Ila nitaanzia kwa Mungu
Hahahaha, hebu nione RafikiMie navaa kama urembo tena nikipiga kimini hahahahaha uwiiii
Mjumbe da hiyo kali[emoji3]Mwambie na yeye asiwe anaenda kusuka saluni awe anasukia home aone kama raha
Naomba nione Rafiki, napenda mdada akivaa huo uremboNavaaga kama urembo sijui maana nyingine inapendeza ukiwa umevaa kimini na kiatu kirefu hahahahah best ninunulie hayo mengine tutahadithiwa
Ulifanya uamuzi wa busara sana arif Huyo mlokole angekutoa roho,tuzidishe mapenzi kwa keroro maana ni muaminifu na hana ubaguzi,hajawahi mkataa mtuHii kitu ilinifanya nikose mke wa kisabato,,,,alinambia chagua kimoja kati ya '' Mimi na mi pombe yako" nikachagua mi pombe yangu