Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Nani kakuambia kuna wanywa soda huku, mnajitafutia mapresha tu , mna nyuzi nyingi zenu tu.Waafrika mna shida sana kujitwika matatizo sio yenu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Nani kakuambia kuna wanywa soda huku, mnajitafutia mapresha tu , mna nyuzi nyingi zenu tu.Waafrika mna shida sana kujitwika matatizo sio yenu
Aise kile kijiwe cha boda boda hapa wamejaa wahuni sana aika na kopa Naskia sahv ni ngumi lkn vyanzo kamali ya mchina

Ova
 
Risiti za efd bar aise wanapata tabu sana

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…