Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Kwenye pombe kauli hizi kawaida utasikia **** wewe lete bia,unatunywesha ili ukatufile,mbwa wewe,weee **** nyoo hapa.hayo maneno kwa sisi walipa kodi kupitia bia ya kawaida sana washamba hawawezi kuelewa!
 
Yaani post yangu ya 5160,nimejizuia tangu siku ya 1 kukoment ila nmeshndwa.. Kweli njia ya upotevuni imesonga watu wengi.
Jamani wanywa soda 🥤 turudi kwenye uzi wetu tafadhali... Tumezidiwa na hawa walevi
Sasa nakushauri usiingie tena kwenye huu uzi usije kwenda motoni ndugu. Mungu akubariki hujaja na kashifa ungefurahi humu.
Lakini lipa kodi kidogo taifa lisonge mbele.
 
Mwenyekiti@inabidi na sisi tuandae
Marathon yetu ya wanywaji/walevi/walipa kodi....vp tuwekeni kilomita ngapi za kakimbiaaa hadi Kufika mwisho...
Ila ingekuwa vzuri bar ziwe karibu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…