Sinaga hangover [emoji23] [emoji23]Angalia usijezikosa hizo hela za bia kwa hangover uliyonayo [emoji1787][emoji1787]
Sinaga hangover [emoji23] [emoji23]
Hpa kama nmezaliwa up ya
Ova
Ngj ningie mzgoni sahvHahahahah nenda pata za kutosha tunakuja na mwenyekiti kula mbuzi
Hii Bar zaman nadhan ilikuwa Classic sana,Amini mipango mingi watu wanazungumzia bar
Kuna bar Inaitwa peace mwananyamala
Pale vigogo walikuwa wanakutana
Unakumbka enzi za Boyz 2 men [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Washaka sana pale
Ova
Asubuhi hii mkuu sio msala?Arusha hii hali ya hewa inanilazmisha kabsa nikatoe lock ya solex kwenye koo...ngoja nipitie florida pale[emoji125]
katibu heshima yako, mi nazigonga sana ila naomba nikupe saluteKidume ndy naingia ndani sahv
Ova
Ndo maana nkachagua florida inn mkuu...leo nko off kwahyo ni kujifetua mithili kama nimeshnda Biko-milioni kumi[emoji23]Asubuhi hii mkuu sio msala?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]katibu heshima yako, mi nazigonga sana ila naomba nikupe salute
Katibu umerudi 6:00am hongera
Asee wewe ni mlevi wala siyo mnywaji! Hivi aliyeanzisha Uzi huu alikuwa na maana gani sisi kama wadogo zenu mnatufundisha nini hapa?Na nmetoka saa moja kwenda kwenye majukumu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila sahv nmepita kwa mangi natoa lock kdg alafu niendelee na pilika
Ova
View attachment 907920
Ushambiwa uzi wa wanywaji/walevi kma wee syo mtumiaji pita kimya si mna uzi wenu wa soda na juiceAsee wewe ni mlevi wala siyo mnywaji! Hivi aliyeanzisha Uzi huu alikuwa na maana gani sisi kama wadogo zenu mnatufundisha nini hapa?
Mi leo nimeanza mapema katibu.Amini mipango mingi watu wanazungumzia bar
Kuna bar Inaitwa peace mwananyamala
Pale vigogo walikuwa wanakutana
Unakumbka enzi za Boyz 2 men [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Washaka sana pale
Ova
Nilivyoona umeingia asibuhi nikajua leo upo off. Hangera katibu.Na nmetoka saa moja kwenda kwenye majukumu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila sahv nmepita kwa mangi natoa lock kdg alafu niendelee na pilika
Ova
View attachment 907920
Nko kwenye mishe ila kzi na dawa mjumbe[emoji23] [emoji23]Nilivyoona umeingia asibuhi nikajua leo upo off. Hangera katibu.