donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Go gaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm nipo na cheza kwa mangi badoNipo maeneo ya Palm View Kigogo mwisho nalipa kodiView attachment 909538
Hahahaha katibu
Kumbe yametukuta wengi.
mm kuna siku nimepiga mzigo wa kutosha wakati naelekea nyumbani mida ya kama saa6 usiku si nkabanwa na aja ndogo nkapaki nkaenda jisaidia ile narudid nakuta jamaa wamepaki pembeni yangu
Nmefika nayumba nkawasalimia nkafungua mlango kama sijui kinachoendelea jamaa mmoja kaudaka mkono na kufunga mlango..nilishikwa na hasira nkataka kumkaba duuh! Walishuka kama mvua acha wanifanyie shambulizi na kunitupa kwenye gar yao .
Wakamuamuri mshkaji nliekua nae aendeshe gari awafuate nyuma ad kituoni
Nlikuja kutoka kesho yake saa4 si nkapewa kipimo nipulize duuh! Ad jamaa walihisi nliingia na pombe nyingine sero[emoji1787]
Sa iv kulewa vile nikiwa na gari labda niwe karibu na nyumbani
Nambie boss wangu tuko kwa mangi ndani full walevi/wanywaji wamekuwa wauza dukaa ni balaaaa bin balaaaa hapaa nlipoHahahaha katibu
UmetishaKaribuni View attachment 909567
Wazee wenye vi ashok ndy zaoHii ilinikuta kipindi hicho kona baa,nilikua nimepaki nyuma nyuma huku kama unatokea sinza maana pale palikua nyomi balaa kama muda wa saa 9 usiku natoka naona gari langu limebaki lenyewe majirani zangu wote wamesepa ile nasogelea gari wazee hao,Swali la kwanza kwa nini umepaki kwenye wrong paki sijajibu mwingine akadakia kwanza kalewa sana hawezi kuendesha gari nasikia makosa mawili hayo.Nikachanganya akili kimjini nikawaambia gari si langu nimekuja kuchukua chaja tuu,mwenye gari nimewaacha kaunta,wa kaniambia unabahati mzee,thn wakasepa zao..walipotokomea na mimi huyooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ilinikuta kipindi hicho kona baa,nilikua nimepaki nyuma nyuma huku kama unatokea sinza maana pale palikua nyomi balaa kama muda wa saa 9 usiku natoka naona gari langu limebaki lenyewe majirani zangu wote wamesepa ile nasogelea gari wazee hao,Swali la kwanza kwa nini umepaki kwenye wrong paki sijajibu mwingine akadakia kwanza kalewa sana hawezi kuendesha gari nasikia makosa mawili hayo.Nikachanganya akili kimjini nikawaambia gari si langu nimekuja kuchukua chaja tuu,mwenye gari nimewaacha kaunta,wa kaniambia unabahati mzee,thn wakasepa zao..walipotokomea na mimi huyooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wazee wenye vi ashok ndy zao
Huwa wanavizia bar zenye nyomi!
Ukielekea kwenye gari Lako haooo wamekuja
Wanakwambia njoo tuku pime kilevi...
Hata pale salenda bridge club huwa wanatega njeee!wanawavizia wanaotoka mule
Mimi binafsi nikipiga tungi Gari situmii maana nishapata mikasa sana naooo
Nlikuwa nawapa faida tu
Mfano tu ukikata mizingaaa 3 na bia kadhaa alafu jamaa wale wakugumie wakuchkulie vipimo kile kimashine kinaweza burst [emoji23] [emoji23]
Ukaishia kuingia kwenye mziki wao
Ova
Walevi mupoooi!! Yaani fulu kuenjoy, hamfanyi Siasa huku, nyie raha tu!!
Sababu gani tena Mwenyekiti , Jingalao aka surrender?@jingalao kesha surrender