Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Go gaga
IMG_20181024_140812_6.jpeg
 
Hii ilinikuta kipindi hicho kona baa,nilikua nimepaki nyuma nyuma huku kama unatokea sinza maana pale palikua nyomi balaa kama muda wa saa 9 usiku natoka naona gari langu limebaki lenyewe majirani zangu wote wamesepa ile nasogelea gari wazee hao,Swali la kwanza kwa nini umepaki kwenye wrong paki sijajibu mwingine akadakia kwanza kalewa sana hawezi kuendesha gari nasikia makosa mawili hayo.Nikachanganya akili kimjini nikawaambia gari si langu nimekuja kuchukua chaja tuu,mwenye gari nimewaacha kaunta,wa kaniambia unabahati mzee,thn wakasepa zao..walipotokomea na mimi huyooo
Kumbe yametukuta wengi.
mm kuna siku nimepiga mzigo wa kutosha wakati naelekea nyumbani mida ya kama saa6 usiku si nkabanwa na aja ndogo nkapaki nkaenda jisaidia ile narudid nakuta jamaa wamepaki pembeni yangu

Nmefika nayumba nkawasalimia nkafungua mlango kama sijui kinachoendelea jamaa mmoja kaudaka mkono na kufunga mlango..nilishikwa na hasira nkataka kumkaba duuh! Walishuka kama mvua acha wanifanyie shambulizi na kunitupa kwenye gar yao .

Wakamuamuri mshkaji nliekua nae aendeshe gari awafuate nyuma ad kituoni

Nlikuja kutoka kesho yake saa4 si nkapewa kipimo nipulize duuh! Ad jamaa walihisi nliingia na pombe nyingine sero[emoji1787]

Sa iv kulewa vile nikiwa na gari labda niwe karibu na nyumbani
 
Hii ilinikuta kipindi hicho kona baa,nilikua nimepaki nyuma nyuma huku kama unatokea sinza maana pale palikua nyomi balaa kama muda wa saa 9 usiku natoka naona gari langu limebaki lenyewe majirani zangu wote wamesepa ile nasogelea gari wazee hao,Swali la kwanza kwa nini umepaki kwenye wrong paki sijajibu mwingine akadakia kwanza kalewa sana hawezi kuendesha gari nasikia makosa mawili hayo.Nikachanganya akili kimjini nikawaambia gari si langu nimekuja kuchukua chaja tuu,mwenye gari nimewaacha kaunta,wa kaniambia unabahati mzee,thn wakasepa zao..walipotokomea na mimi huyooo
Wazee wenye vi ashok ndy zao
Huwa wanavizia bar zenye nyomi!
Ukielekea kwenye gari Lako haooo wamekuja
Wanakwambia njoo tuku pime kilevi...
Hata pale salenda bridge club huwa wanatega njeee!wanawavizia wanaotoka mule
Mimi binafsi nikipiga tungi Gari situmii maana nishapata mikasa sana naooo
Nlikuwa nawapa faida tu
Mfano tu ukikata mizingaaa 3 na bia kadhaa alafu jamaa wale wakugumie wakuchkulie vipimo kile kimashine kinaweza burst [emoji23] [emoji23]
Ukaishia kuingia kwenye mziki wao

Ova
 
Hii ilinikuta kipindi hicho kona baa,nilikua nimepaki nyuma nyuma huku kama unatokea sinza maana pale palikua nyomi balaa kama muda wa saa 9 usiku natoka naona gari langu limebaki lenyewe majirani zangu wote wamesepa ile nasogelea gari wazee hao,Swali la kwanza kwa nini umepaki kwenye wrong paki sijajibu mwingine akadakia kwanza kalewa sana hawezi kuendesha gari nasikia makosa mawili hayo.Nikachanganya akili kimjini nikawaambia gari si langu nimekuja kuchukua chaja tuu,mwenye gari nimewaacha kaunta,wa kaniambia unabahati mzee,thn wakasepa zao..walipotokomea na mimi huyooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wazee wenye vi ashok ndy zao
Huwa wanavizia bar zenye nyomi!
Ukielekea kwenye gari Lako haooo wamekuja
Wanakwambia njoo tuku pime kilevi...
Hata pale salenda bridge club huwa wanatega njeee!wanawavizia wanaotoka mule
Mimi binafsi nikipiga tungi Gari situmii maana nishapata mikasa sana naooo
Nlikuwa nawapa faida tu
Mfano tu ukikata mizingaaa 3 na bia kadhaa alafu jamaa wale wakugumie wakuchkulie vipimo kile kimashine kinaweza burst [emoji23] [emoji23]
Ukaishia kuingia kwenye mziki wao

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom