Hahahah hatimae nimekua mteja sasa ila ngoja apitie hesabu hapa roho inadunda.Hahahahah kichaa kapewa rungu
Nimehamiaaa kauntaAise unampa wakati mgumu wifi yangu hahahaahaha lakini ukizoea na kukubali kitu hakikupi shida
Usijali alafu naomba nipigie 0715591141Aise unampa wakati mgumu wifi yangu hahahaahaha lakini ukizoea na kukubali kitu hakikupi shida
The world is yoursMambo yanazd kukolea gambe raha sana unaisi dunia kama yako
Duh nipe mrejeshooooHahahah hatimae nimekua mteja sasa ila ngoja apitie hesabu hapa roho inadunda.View attachment 914191
Hupatikani hahahahha umekosea nambaUsijali alafu naomba nipigie 0715591141
Ova
Hujapiga acha fix [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hupatikani hahahahha umekosea namba
Nimetoboa salama Nina hasara ya konyagi tu Sikh imeisha vyema. Naendeleza sasa.Duh nipe mrejeshoooo
Ova
Nmekuja Kino nko mitaa ya aika kiwanja chaNimetoboa salama Nina hasara ya konyagi tu Sikh imeisha vyema. Naendeleza sasa.View attachment 914342View attachment 914342
Ohhh mbona mnakunywa sana hamulewi!kunywaaaaaaaaaaa na kula [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hupatikani hahahahha umekosea namba
Nikiwa kama katibu wa wanywaji na walevi kweli tuna umojaaThread ina muda mfupi tu lakini naona page zishafika 294, kweli walevi wana umoja.🙂
Hahahaha niko stable kweli mm mkarimu sana nnamautani naongea sana Mtu akikakaa na mm haborekiMrangi nimekuvulia kofia.
Yaani tungi kumbukumbu safi na upo on point.
Hakuna matusi wala dharau, just gambe and fun..
Mzee wa habari za mji huu. Mambo ya Kino, Mikocheni nk...hapa hata mtu chake alikuvulia kofia
Umenikumbusha rafiki yangu Patrick tukimwita Party sasa marehemu. Enzi hizo Keko..alinizidi sana umri lakini braza mmoja mtu poa.Hahahaha niko stable kweli mm mkarimu sana nnamautani naongea sana Mtu akikakaa na mm haboreki
Nikilewa nalewaaa daily sijawahi gombana na mtu kma uhuni ulikua zamani
Sahv tule maisha tu mzee baba
Ova
View attachment 914401
Mimi ni mtu wa watu [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umenikumbusha rafiki yangu Patrick tukimwita Party sasa marehemu. Enzi hizo Keko..alinizidi sana umri lakini braza mmoja mtu poa.
Ana stori za wababe na wahuni wa enzi hizo Keko na Kino..akina Chela nk. Siku namuona Chela kawa mnyonge kwa sababu ya ngada.
Rip Party