Akiba haiozi mkuu,koo linakelereketa nina ka akiba kwenye friji nataka nimalizane nakoKiu haijakushika ghafla mkuu? Maana ukisoma comments chache tu za huu uzi utatamani utoke ukasuuze koo kidogo
Hahahaaa, tii kiu yako kamandaAkiba haiozi mkuu,koo linakelereketa nina ka akiba kwenye friji nataka nimalizane nako
Tuko kwenye mkakatti wa kuleta utajiri nyumbani kwa gharama yoyote ile.Babu haya unanigawaje bila mwenyewe kujua jamani
Kwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
We nawe si uende kwenye nyuzi zinzokufaa, mbona unakiherehere sana kwenye mambo ya watu?Ila mnapoumwa gharama za matibabu ni kubwa sana
Ha ha ha nani kakwambia situmii maji ya rangi ya mende?We nawe si uende kwenye nyuzi zinzokufaa, mbona unakiherehere sana kwenye mambo ya watu?
We km Mimi aiseeSijawahi kuonja bia na nimeomba Mungu nisije hata kuramba hivi vyuma chakavu!!!View attachment 863972
Like me, ... daily mataa yanawaka mpaka nahisi nimerogezewa nn..!?Hapo ndipo pagumu....yaani hapa nilipo nina hang over balaa...kila siku ninajiambia sintokunywa pombe lakini nakuja kustuka nimeshalewa...hebu nishauri mpenzi
Hapo sawa sasa nakupokea mikono miwili mtoto wa kisambaa mie ushindwe wewe tuPesa sina wasiwasi nazo
Hivi upooo miss uDogo hivi umamaliza skul?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kugona nzagona [emoji85][emoji85][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Duu umbuje wahateiya kumbe[emoji30]
Hao wanaosema zilipendwa sio wanywaji wa heineken ni mamluki waache kufananisha heineken na vitu vya kijinga acha heineken iitwe heineken kakaEti wanasema zilipendwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa babu kama ana mahela mengi mm nimemkubaliTuko kwenye mkakatti wa kuleta utajiri nyumbani kwa gharama yoyote ile.