Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
He he unapenda kualikwa eenhNipooo shuu.. Miss you too
Vip unataka kuniarika moya moto moya baridi nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He he unapenda kualikwa eenhNipooo shuu.. Miss you too
Vip unataka kuniarika moya moto moya baridi nini?
Funguka mkuu ulivyofanyaHii kuna siku iliniyumbisha dish kwa dk kadhaa, nilipiga hizo smirn off 3 na konyagi kubwa, nilifanya vutu vya ajabu sana
Hata mm nimeshashindwa,tumbo linajaaKabisa, siwezi kunywa ugimbi na Glass
Hapa yenyewe nautandika ugimbi ,tarumbeta km kawaHata mm nimeshashindwa,tumbo linajaa
Malizia hapoHili zigo si mchezo
Hiki ndicho kilevi chako?Mi simo mana kilevi changu,kinamilikiwa na mtu binafsi na bei tunapanga watumiaji....
AseeMalizia hapoView attachment 865149
Mzee weka PrimusNiwatakie mchana mwema View attachment 864948
SwadaktaHiki ndicho kilevi chako?View attachment 865151
Primus imeisha hapa nilipoMzee weka Primus
Primus ujazo wake ni noma,piga sana hii pande za Kigoma, Bujumbura,Kananga Base na MbujimaiPrimus imeisha hapa nilipo
Mambo ya Njoro Msitu wa Tembo hayoNaona sisi wa mtaa huu hii mada haitihusu
View attachment 865167View attachment 865167View attachment 865174
Mshana jr tuombe radhi, sisi sio walevi ni wanywaji km wanywaji wengine wa soda. Ok muhudumu ongeza glassKwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
HahahhahahhAaaa.... Kawaida aiseee... Bill on meHe he unapenda kualikwa eenh
HahahhahahhAaaa.... Kawaida aiseee... Bill on me
Umetaja Mbujimai ,umenikumbusha province ya kasai hy ,duh ,Primus kubwa mnakunywa wawili hadi watatuPrimus ujazo wake ni noma,piga sana hii pande za Kigoma, Bujumbura,Kananga Base na Mbujimai
Si mchezoUmetaja Mbujimai ,umenikumbusha province ya kasai hy ,duh ,Primus kubwa mnakunywa wawili hadi watatu