[emoji1] [emoji1] Mpe hi shunie
Leo nipo Forty forty tabata bima
Yesuu iruvaaa! Upo uku na wewe
Mwambie nikinywa maji namuona kweny glasiKalala saa hizi
Duh mapema yte mnalalaje saizi[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kalala saa hizi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna watu mwanangu wana hadi uwezo wa kuingia kitandan saa mbili, mi tofauti na adhana kitakachonitoa hapa ni huyu mhudumu aniambie mi ndo naondoka
Abadilike ili mda wote washinde wote sebuleni kugombea rimotiMm nampa pole mkeo tu huyo mama wa kilokole wa watu atakuwa anakesha kwenye maombi mumewe abadilike
HahahhahaHahahaha nilikutania tuuuu,hutaniwii binti
Nimetamani hizo beer tuNamalizia weekend View attachment 930005
Niko hapa mzee wa swaziland[emoji1] [emoji1] Mpe hi shunie
Sio kibonge mieKmbe shunie@kibonge [emoji23] [emoji23]
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we mzee weweShunie slim flani hivi.
Huyu Mtoto unawwza kula gambe usilewe
KheeeeeeKalala saa hizi
HahahahaHahahhaha
Kumbe ulikuwa utani ule