Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Kuna watu mwanangu wana hadi uwezo wa kuingia kitandan saa mbili, mi tofauti na adhana kitakachonitoa hapa ni huyu mhudumu aniambie mi ndo naondoka
 
Kuna watu mwanangu wana hadi uwezo wa kuingia kitandan saa mbili, mi tofauti na adhana kitakachonitoa hapa ni huyu mhudumu aniambie mi ndo naondoka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Kigetogeto

Movie + Tungi

Have a nice Sunday wachangiaji Pato wezangu

Huu uzi bola mpaka mwaka 2030 wajukuu zetu wataendeleza kupost vyao[emoji1] [emoji482]
IMG_20181108_191635.jpg
 
Mi naondoka hapa 40 forty hamna amshaamsha bora nirudi zangu 5N nikakutane na mbwembwe zote za mjini
 
Back
Top Bottom