ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Kwa mangi hakuna gharama ila uwavumilie wanywa kitoko, Don nyatiBluce Lee ndio nn?kiduka cha mangi kwa shayo ,hkn haya mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mangi hakuna gharama ila uwavumilie wanywa kitoko, Don nyatiBluce Lee ndio nn?kiduka cha mangi kwa shayo ,hkn haya mambo
Mabaunsa nao shida nyingine wezi sanaPole mshana Ila kez pub kimara Kona Bora ilikufa wanachomeka Bill,wanakupa valium wakuiibie,mabaunsa ndo wezi ,boss mkorofi Ile bar Kama uko Juarez Mexico
OK sasa nimekuelewaNi msosi una hilo jina mkuu
Dah,hawa bana uwavumilie haswa ,maana wasumbufu balaaKwa mangi hakuna gharama ila uwavumilie wanywa kitoko, Don nyati
Sie tuna augustino mrema hana neno mkuu mangi wetu Na kipindi hiki kilivyokigumu tuna improvise mambo ya kwenda Capetown fish market kwishaBluce Lee ndio nn?kiduka cha mangi kwa shayo ,hkn haya mambo
Mimi Ben mpaka Sasa sikanyagi , nasikia wamebadilisha jina panaitwa el classicoMabaunsa nao shida nyingine wezi sana
Wananzisha ugomvi ukijitetea wanakuzia kesi watakuibia wallet na sim kama unazo
Mabaunsa wa aina hyo walikuwepo Ben pub na masai
Ova
Ndio maaana naogopaga sana,kujichanganya sana ,sichezi mbali na Mangi /,kwa shayoMabaunsa nao shida nyingine wezi sana
Wananzisha ugomvi ukijitetea wanakuzia kesi watakuibia wallet na sim kama unazo
Mabaunsa wa aina hyo walikuwepo Ben pub na masai
Ova
Mkuu Mrangi ushakunywaga pale Kota panaitwa TwitterMabaunsa nao shida nyingine wezi sana
Wananzisha ugomvi ukijitetea wanakuzia kesi watakuibia wallet na sim kama unazo
Mabaunsa wa aina hyo walikuwepo Ben pub na masai
Ova
Hahaha ,mie huko fish market ,sijui wapi hapana,nacheza na kwa shayo,nikisogea sana kwa love sinza pale karibu na meedaSie tuna augustino mrema hana neno mkuu mangi wetu Na kipindi hiki kilivyokigumu tuna improvise mambo ya kwenda Capetown fish market kwisha
Hivi soccer city bado ipo hivi?Hahaha ,mie huko fish market ,sijui wapi hapana,nacheza na kwa shayo,nikisogea sana kwa love sinza pale karibu na meeda
Twiter kino ,nishakunywa paleMkuu Mrangi ushakunywaga pale Kota panaitwa Twitter
Nadhani ipoHivi soccer city bado ipo hivi?
Pale kuna wakati nilikuwa naenda , nikichoka naingia mitaa ya pachotoTwiter kino ,nishakunywa pale
Pachoto,Bonga kwa mashuaPale kuna wakati nilikuwa naenda , nikichoka naingia mitaa ya pachoto
😳 😳 😳 😀 😀 😀 😀Kuna muudumu nilimpa ofa ya msosi,,akaniletea bili ya elfu 10,,,,nikalipa huku roho inaniuma sana,,leo kaniudumia kwa bili,imefika kama elfu 65,pamoja na misosi,,,sasahivi nipo kwenye dala dala naelekea home,sijui nyuma kitatokea nini..sipendi ujinga kuleta bongo movie kwenye pesa za watu.
Utasikia yule kaka ana roho mbaya wakati wao wanatupigagaKuna muudumu nilimpa ofa ya msosi,,akaniletea bili ya elfu 10,,,,nikalipa huku roho inaniuma sana,,leo kaniudumia kwa bili,imefika kama elfu 65,pamoja na misosi,,,sasahivi nipo kwenye dala dala naelekea home,sijui nyuma kitatokea nini..sipendi ujinga kuleta bongo movie kwenye pesa za watu.