Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hizi ni story katafute jukwaa la afya sijui na nini huko upeleke huko, we kwa akili yako ushaona mtu hapa anaombaomba kwako au hajui utaratibu wa maisha yako, tusitibuane kwenye haya masuala kwanza kwenye kuzitafuta hukuweko so usinipangie kuzitumia
Angeanzisha uzi we wa nasaha

Ova
 
Nimetoka mitaa hiyo muda si mrefu. Nimerudi kulala
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kitambo lkn sahv nahsi pamepoaa
Nakaribia bonga bar sahv [emoji23] [emoji23] kna kikaoo kdg na wazee fulani

Ova
 
Baadhi ya athari za Pombe....

1. Magonjwa ya damu

Walevi wanaweza kuwa na upungufu wa damu kutokana na sababu kadhaa, pia wanaweza kupata thrombositopenia kutokana na athari ya sumu ya megakariositi, au kutokana na hipespleni.

2. Mfumo wa neva

3. Kiharusi

4. Ukuaji wa ubongo Matumizi ya kiasi kikubwa cha pombe kwa kipindi cha muda unaweza kutatiza ukuaji wa ubongo wa kawaida binadamu.
 
Ndugu wadau wa maendeleo na walipa kodi wakubwa jongeeni hapa kuna kikao cha dharura
 
Kunywa pombe mkuu, acha wida...
Wanasema maini yanaoza, its true..

Lakini Mungu haangalii Maini,
Anaangalia Roho.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Afadhari yeye ataekufa na viungo vyake vyote vikiwa vizima
[emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji15][emoji15][emoji15]lakini roho imekufa na mwili hauna uhai tena... Ila viungo ni vizima... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].... What a weird phenomenon
 
[emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji15][emoji15][emoji15]lakini roho imekufa na mwili hauna uhai tena... Ila viungo ni vizima... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].... What a weird phenomenon
Sahv ndy naingia pande zangu
Mambo yalibana ......

Ova
 
[emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji15][emoji15][emoji15]lakini roho imekufa na mwili hauna uhai tena... Ila viungo ni vizima... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].... What a weird phenomenon
Leo nacheza kwa mangi tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
[emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji15][emoji15][emoji15]lakini roho imekufa na mwili hauna uhai tena... Ila viungo ni vizima... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].... What a weird phenomenon
Mwenyekiti nini tena mambo ya vifo

Ngoja nipate wine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…