Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hahahaha, asee Mimi konyagi sichanganyi na chochote kile ni kavu kavu inakwenda
Mm zamani nlikuwa napiga dry mwanzo mwenga kna mzee mmja mnorway mshikaji wangu sana anakja sana tz kunitembelea hyo 24/7 ni tungi akanishauri ni mix na maji
Huyo mzee akijaga vichwa viwili tukikutana ni shidaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nyagi anasema ni vodka tu anaikubali sana
Mm na mix nyagi na maji tu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…