Hahahaha, mwenyekiti umetishaNitafanya ziara ya kiroho kwa wanachama 15 leo usiku
Ahsante mkuu mpaka muda huu tumeshachangia pato la serikali kwa 75%Nitakuwa nawe kiroho kwenye maadhimisho....
Nimelipa na nitaendelea kulipa mpaka mwisho wa dahariHongera mkuu umelipa kodi ya kutosha
Usiku wote huu? [emoji23]Hapa niko Rose Garden najiona kama nabembea.
Ngoja niende karaoke 777
Usiku wote huu? [emoji23]
Noma sana. Sio kesho sasa ni baadae [emoji16]Eeeeh na kesho kazini..
Noma sana. Sio kesho sasa ni baadae [emoji16]
Upo vizuri. HongeraEeeeh. naamka saa moja na nusu nawahi kabisa
Upo vizuri. Hongera
Nimemkumbuka bro enzi hizo daily anakula mtungi mpaka saa 11 ndio anarudi home alajitupia sofani dakika 15 anaamka anaoga safari ya kazini.Chantee.. hapa nikifika home maji kama yotee maana sio kwa Heineken hizi nilizokunywa
Babu anakunywa K Vanga siku hiziVituko vya AsprinView attachment 934574
Jaribu Radha ya mua afandeKitu konk
Nimemkumbuka bro enzi hizo daily anakula mtungi mpaka saa 11 ndio anarudi home alajitupia sofani dakika 15 anaamka anaoga safari ya kazini.
Nilikua namwonea huruma ila yeye ashazoea ananiona mimi boya nashangaa mambo ya kawaida.
Sijawahi kuweza pombe ya mbali na home maana nikipiga kidogo tu akili inataka kitanda kiwepo karibu.Maisha hayo niliyaishi chuo. Nilikua narudi kutoka club 6 am halafu nina kipindi 8 am nikirudi naoga nachaaat mpaka muda wa class