Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hahahaha, Dada Patricia [ R.I.P.] tulikua tunakesha nae mwanzo mwisho ,tunajuana vyema
Piga sana konyagi

Asee hebu tulewe maana tukianza hapa kuna wanachungulia



 
Hahahaha, Dada Patricia [ R.I.P.] tulikua tunakesha nae mwanzo mwisho ,tunajuana vyema
Piga sana konyagi

Asee hebu tulewe maana tukianza hapa kuna wanachungulia
Nilimind sana[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Alionaaa katupataaa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Alifurahi sana

Ova
 
Nilimind sana[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Alionaaa katupataaa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Alifurahi sana

Ova

Mkuu leo nmeonja music wA k -vant,sio kama wa konyagi,apa nimekula bapa ndogo tatu,nko hoi!
Simtii majaribuni tena.
 
Hahahaha, Dada Patricia [ R.I.P.] tulikua tunakesha nae mwanzo mwisho ,tunajuana vyema
Piga sana konyagi

Asee hebu tulewe maana tukianza hapa kuna wanachungulia

Kaka k-vant simtii majaribuni tena,
Anachanganya fasta kwanza,
Leo ndio nmeonja joto yake!
Konyagi atasubiri sanA,
 
Hapa nipo na wadau Copacabana ya kusini wao ni wasomaji tu wa huu uzi ila sio wachangiaji, hapa tulichopanga ni kuondoka kumi na mbili kuoga then kazin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…