Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hahahahaha umenichekesha sana
 
Hata mie nazipenda hizo. Unakunywa kwenye ka grocery viti vya benchi inashuka mbaya
Wana vijiwe vyao vya kimya kimya tukiwagumia ahh mwendo mdundo
Unafikiri Hawa madon wanakaa bar zenye majina wao ni zile za kawaida tu
Ukiwa na mipango sku hyo unataka hela ya kuforce unawatimbia unawaimbisha tu unakaa Sawa

Ova
 
Leo Amunike kanikera nafsi inalalamika tu hapa Bora nikalale tu maana nikiendelea naona stress tu
 
Leo Amunike kanikera nafsi inalalamika tu hapa Bora nikalale tu maana nikiendelea naona stress tu
Usishangilie hyo timu hapa kwa mangi tulikuwa tunakunywa na kucheki muvi la kutisha tu mpira presha tu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…