Pengine walishauriwa na #team stroke wale wapenda soda[emoji23][emoji23][emoji23] ubahili gani huu.... Yani kabisa unaenda bar kisha unaagiza soda, halafu unakaa kwenye kiti kisha unataka uletewe na tissue na bilauri[emoji34][emoji35][emoji34][emoji35]Sana nilimwambia meneja wao mmoja hii kitu,hamtouza ,eti ukwaju na passion ,mpk zinaondolewa sokoni sijaonja
HahahaHalafu wanywaji mnakuaga sio wachoyo, Leo tunakaribishana wapi?
Usisumbufu kwa wahudumuPengine walishauriwa na #team stroke wale wapenda soda[emoji23][emoji23][emoji23] ubahili gani huu.... Yani kabisa unaenda bar kisha unaagiza soda, halafu unakaa kwenye kiti kisha unataka uletewe na tissue na bilauri[emoji34][emoji35][emoji34][emoji35]
Ukikaribishwa usinisahau [emoji39] [emoji39] [emoji39]Halafu wanywaji mnakuaga sio wachoyo, Leo tunakaribishana wapi?
Iko wapi hiyo?Hahaha
Kino clanWeka location ukaribishwe nearest station
Hatutaki wanywa Maji..Ukikaribishwa usinisahau [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Nani mnywa maji? [emoji848][emoji848][emoji848]Hatutaki wanywa Maji..
Mtoni mtonganiIko wapi hiyo?
Mkubwa mie niko mbali mnoKisuma hapo bia asubuhi mwake tu
Napakubali
Ova
Uko wapi kama unapiga vyombo Safi tu usijali tutakuja jumuika hko one dayMkubwa mie niko mbali mno
Shusha vitu tuWakuu nafika Sasa kilingeni, Koo naona limeachia wazi
Pamoja mkuuShusha vitu tu
Ova