Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

the kick bhana huku kwetu haipo katika bia ninayo kunywa ni hiyo au castle milk black mamba ila sana vitu vikali jamaican ram alafu nadhani kuna mdau wa diamond dry gin ile 200ml kama umeweka safari ishirini kichwani. big up to mohammed ibin razi mkemia mkuu wa enzi hizo
Dah.. [emoji115]
 
Naona walipa kodi bado wamelala..! Heshima kubwa sana kwenu... Bila nyie kibubu cha kaya hakituniki
Balaaa la Jana ilo,
Hapa kichwa kinagonga nataka nikatoe lock na km mbili za chap then nilale tena
IMG_20180914_212657_1.jpg
 
Napata tabu sana kunywa BALIMI katika mkoa wa DAR,,watu wananiona kama nimefulia,,kama kibaka,wanaficha simu zao,,,mbona kanda ya ziwa ,,ndio bia yenye heshima,,,Rock City utakuta safari zimeisha lakini sio BALIMI,,,,weka mikono juu na banjuka juu ,banjuka juu na balimi.

Hii ndio bia yangu pendwa nyingine silewi 😎😎😎😎😎😎 Kwa sasa hivi.

IMG_20180915_072950_213.jpg
 
Back
Top Bottom