ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Yap, ndio jina lake hiloNasikia siku hizi hii kubwa zaidi inaitwa "drimlaina"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap, ndio jina lake hiloNasikia siku hizi hii kubwa zaidi inaitwa "drimlaina"
Mrangi (ddo) Daily drinker officer?Kwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
@Mshana Jr. Upo mkoa gani?Wazo zuri sana
Mara pap ndani kuna gongo no 1
Dah nilishituka. Kuangalia vizuri ndiyo nikaelewa.Binafsi niliogopa kusema[emoji23]
Tanga ?Pwani ya kaskazini
Na walevi hamna nguvu za kiume mpaka mlambe vumbi ya Kongo ndio mnara usimame!!!![emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hatuwazidi wanywa togwa na shurubati
Unakunywa??Nilipumzika miaka miwili sasa nimeziaza kwa kasi 🙄
Bia yangu pendwa...
Mimi nipo kibaha nataraji kuja miono j4 kama utakuwa msata nitakutafta naomba uni pm namba yakoMsata kilingeni