Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kumekucha sasa,ngoja niende kumaluzia viporo vyangu kaunta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii spray ni ya wanaume au wakike?Hahaha, tukutane triple B baadae kwenye show ya Xtian Bella, aisee nimeamka na KGB hapa bado navesha tu..View attachment 866675
Siku nikiwa Rais napiga marufuku uleviKumekucha sasa,ngoja niende kumaluzia viporo vyangu kaunta
Ya kike mkuuHii spray ni ya wanaume au wakike?
nYa kike mkuu
imechekaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaYa kike mkuu
Hela ya Kodi utapata wapi?Siku nikiwa Rais napiga marufuku ulevi
mm sijagonga muda jaman!yapa mate yanaingia na kutoka..naisikia kbs ladha ya desperadoVipi wenzangu leo ni Weekend mnaenda wapi? Mimi ni mfungwa wa ihari hivyo nipo hapa nyumbani. Mwenzangu mlokole wa ihari naye hivyo nakunywa ananiangalia ingawa kanunua mwenyewe.
Huyo siyo mlokoleVipi wenzangu leo ni Weekend mnaenda wapi? Mimi ni mfungwa wa ihari hivyo nipo hapa nyumbani. Mwenzangu mlokole wa ihari naye hivyo nakunywa ananiangalia ingawa kanunua mwenyewe.
Naboresha bandariHela ya Kodi utapata wapi?
Na kilimoHela ya Kodi utapata wapi?
Umekula maana tumechoka kutoa rambirambi!Wadau leo jumamosi msije kuta hamjaanza kutoa kodi jamani.
Karibuni.View attachment 866710
Uwe na moyo wa huruma kwetu tuliokitafuta kifo kwa hiari utoe tu mkuu.Umekula maana tumechoka kutoa rambirambi!
Ataenda mbinguni [emoji23][emoji23][emoji23]Vipi wenzangu leo ni Weekend mnaenda wapi? Mimi ni mfungwa wa ihari hivyo nipo hapa nyumbani. Mwenzangu mlokole wa ihari naye hivyo nakunywa ananiangalia ingawa kanunua mwenyewe.