Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Wadau leo jumamosi msije kuta hamjaanza kutoa kodi jamani.
Karibuni.
15369956772221679295819.jpg
 
Umekula maana tumechoka kutoa rambirambi!
Uwe na moyo wa huruma kwetu tuliokitafuta kifo kwa hiari utoe tu mkuu.
Nimekumbuka supu niliyokunywa haikua na nguvu ngoja niagize kitimoto nitakukaribisha kama tukiwa wachache tukiongezeka sikukaribishi upambane na hali yako.
Namkaribisha tu dada na kaka NAHUJA na Mshana Jr bila kumsahau Asprin .
 
Back
Top Bottom