Duhh...Wadau leo jumamosi msije kuta hamjaanza kutoa kodi jamani.
Karibuni.View attachment 866710
Siniwewe umeniogopesha kua nitakua hayati?.Eeee Mungu wangu unaongeza na kitimoto tena!!!!!!!?
Mnywaji wa kilevi ni mlevi tu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ni mnywaji sio mlevi[emoji23][emoji23][emoji23]
Anywe hata kama ile ya siku za kazi (kilimanjaro aka mkoa pendwa).Unataka mwenzio anywe gongo!?
Siumushauri aache tuKama wewe ni lena achana na balimi kabisa unaweza kushika mbwa ukazani ni wife
Mkuu safari ndy kinywaji changu [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa biashara gani hii ya kuigana siunywe aina nyingine.
Kumbe kufa unaogopa??Siniwewe umeniogopesha kua nitakua hayati?.
Hii ngoma nyingine nitag saa 21:30 nikutumie picha naanza safari ya kuja kwenye mji wa bashite ndio ujie hii kitu ilizakiwa kilimanjaro.Duhh...
Mkuu huo mchanganyo mkali sana.. Hufiki saa 7.
Acha wivu mnauzi wenu wanywa soda Nani kakwambia hatujui hayo uliyoyaandika?HUWEZI KUWA MLEVI UKAWA MWANAUME KAMILI.
UWANAUME KAMILI NI PAMOJA NA KUJIZUIA NA MAMBO YENYE KUDHURU AFYA YA AKILI,AFYA YA MOYO,AFYA YA MWILI KWA UJUMLA NA MFANO WAKE.
NAYASEMA HAYA KWA SABABU HAPA NI SEHEMU MUAFAKA. NA KUNA JAMBO NIMEKUMBUKA.
WALE NAJUA HILI MNALIKUBALI JAPO SI KWA DHAHIRIA ILA KWA MOYO AU KWA SIRI LIMETAWALA SANA.
NASEMA HIVI,KUNA JAMBO NIMEKUMBUKA.
Mbege inaharibu akili si unaona wachaga wengi walivyo kama wamepagawa sababu ya mbegeAnye hata kama ile ya siku za kazi (kilimanjaro aka mkoa pendwa).
Walevi na umalaya ni maji na samakiMkuu safari ndy kinywaji changu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
Barmaid washanunuliwa nyingiDuhh...
Mkuu huo mchanganyo mkali sana.. Hufiki saa 7.
Walevi/wanywaji hatunaga time na madem sisi ni tungi tuWalevi na umalaya ni maji na samaki
Kumbe mi ndio nimeiga, samahani ova.Mkuu safari ndy kinywaji changu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
Me mzima tunasongesha Uzi mkuu......Beef Lasagna naona likes zako 22 ,mzima Mkuu
Kumbe mchaga!!!! hapo hata udumbukizwe kwa pipa haulewiHii ngoma nyingine nitag saa 21:30 nikutumie picha naanza safari ya kuja kwenye mji wa bashite ndio ujie hii kitu ilizakiwa kilimanjaro.
Nna miaka 20 nakunywa safari sijawahi onja bia nyingine mkuuKumbe mi ndio nimeiga, samahani ova.
Uzi umekugusaAcha wivu mnauzi wenu wanywa soda Nani kakwambia hatujui hayo uliyoyaandika?