Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Ngoja niende kwa Simon nikalembuzi nambege kimara korogwe
IMG-20180915-WA0001.jpg
 
Mkuu usiongope nikiingia bar naona walevi mnawapapasa wanawake hakuna MTU mzima anaweza tamani kulala na barmaid kama hajalewa
Syo wote wengine sisi tunataka kulewa tu
Walevi wanaishia kupa Pasa tu finishing
Mbovu [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Back
Top Bottom