Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau kuacha mboga nyumbani maana walevi mna taabu sanaLeo week end wadau,tuanzeni mapema ,kadri iwezekanavyo
Mi sio mlevi nimnywaji.Kumbe kufa unaogopa??
Acha ulevi mbaya sana
NAWAKUMBUSHA TU. MSIJE MKAJILAUMU BAADAE,MAANA MAJUTO HUWA NI MJUU.Acha wivu mnauzi wenu wanywa soda Nani kakwambia hatujui hayo uliyoyaandika?
Vzr sana ,Leo week end ,tuanzeni mapema mnooMe mzima tunasongesha Uzi mkuu......
Hko muhimu kuwa weka SawaUsisahau kuacha mboga nyumbani maana walevi mna taabu sana
Hahahahaaaaaa kwakweliNinasikitika sana TBL kutuharibia Beer yetu ya Safari.
Balimi sasa imeshika hatamu.
Mkuu usiongope nikiingia bar naona walevi mnawapapasa wanawake hakuna MTU mzima anaweza tamani kulala na barmaid kama hajalewaWalevi/wanywaji hatunaga time na madem sisi ni tungi tu
Ova
Muachie tuKumbe mi ndio nimeiga, samahani ova.
Unatafuta kupigwa bani au? Hujui hao ni watani wangu na ndugu wa karibu shauriyako.Mbege inaharibu akili si unaona wachaga wengi walivyo kama wamepagawa sababu ya mbege
Kama hataki kulewa anywe juiceIla si kila mnywaji analewa[emoji23]
Miaka 20 unakunywa eee Mungu wangu pole sana mateso yote ya nin?Nna miaka 20 nakunywa safari sijawahi onja bia nyingine mkuu
Ova
Ngoja nikae kimyaUnatafuta kupigwa bani au? Hujui hao ni watani wangu na ndugu wa karibu shauriyako.
Syo wote wengine sisi tunataka kulewa tuMkuu usiongope nikiingia bar naona walevi mnawapapasa wanawake hakuna MTU mzima anaweza tamani kulala na barmaid kama hajalewa
Walevi wengi umalaya umetawalaKatika kitu huwa nafeli ni kwenda bar,nikakumbuka demu ,naweza kumbuka msela lkn sio demu
Inamaana haujaanza?.Leo week end wadau,tuanzeni mapema ,kadri iwezekanavyo
Hahaha starehe tumeichagua mkuuMiaka 20 unakunywa eee Mungu wangu pole sana mateso yote ya nin?
Mkuu mm hapana,Mimi ni mnywaji mzuri mno ila si umalayaWalevi wengi umalaya umetawala