Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Inaitwaje hy Mkuu, November /December niko bongoSiku Ukirudi bongo niambie kuna hii kitu hiiView attachment 866836
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaitwaje hy Mkuu, November /December niko bongoSiku Ukirudi bongo niambie kuna hii kitu hiiView attachment 866836
Somehow kuna ukweli mkuu chunguzaSi kweli hata kidogo.
Lengo sio wanielewe,nawakumbusha tu. Kuna mmoja amenijibu vizuri sana,kwamba wana yajua yote niliyoyasema humo. Nikasema vizuri na ndio maana nimewakumbusha.Ungeenda kwenye Uzi ule wa wanywa soda na juice huku hawakuelewi..........
Kaverve ni katamu na kalaini.. Ila stim zake balaa.Kama umewahi kunywa kitoko, verve, fanya kugonga like hapa
Hiyo kitu niliwahi piga funda nikasikia maini yanatikisikaBaharia mzoefu..hii kitu sinaga ubishi nayo [emoji1] View attachment 866122
Vitu vyakuiga vibaya sana, nilikuta jamaa wanagonga nikaagiza kamoja keusi hivi nikaa na stori. Nikajikuta nina likizo ya siku halafu wakanikatia jina boza kisa kunywa maji tu. Hicho kijamaa nilikipiga ban ya maisha.Afu kapo very soft kanamezeka ndo nacho kapendea
Jf ndio nyumbani hata wanipige bani naendelea kuishi hewaniEndelea kuropoka tukose michango yako.
Au una id nyingine?!.
Ni pm nitakua nakucheki kijanja.
Mnywa pombe ni mlevi tu hata kama anaonjaInawezekana Mkuu
Mkuu nimeshafunga zipuEndelea kuropoka tukose michango yako.
Au una id nyingine?!.
Ni pm nitakua nakucheki kijanja.
Hizo ndio za waleviDry...!
Mlevi mlevi tu hata kama anaonja acha kumfarijiWe sio mlevi ila ni mywa pombe
Mlevi ana muda wa kuvaa mpiraUlikapiga pekeake au ulichanganya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Vitu vyakuiga vibaya sana, nilikuta jamaa wanagonga nikaagiza kamoja keusi hivi nikaa na stori. Nikajikuta nina likizo ya siku halafu wakanikatia jina boza kisa kunywa maji tu. Hicho kijamaa nilikipiga ban ya maisha.
Kwa m7 kuna kitu inaitwa Nile special iko poa sanaKama uko kwa m7 kuna kijiwe kimoja kitamu sana hapo kisementi
Ova
Hiiiiiiiii gudumorningKama wewe ni lena achana na balimi kabisa unaweza kushika mbwa ukazani ni wife
Mapato ya nchi yako ndio hivi nategemea hao hao waleviMnywa pombe ni mlevi tu hata kama anaonja
We nicheke ila ndio ukweli. Unaitwa boza kisa kunywa maji kubwa na upo eneo la tukio?.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]