Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

[emoji30][emoji30][emoji848][emoji115][emoji115][emoji115]
Hapa Hawaii hyu muuza karanga simuelewi kabisa[emoji23] anazuga au

Ova
20180915_170749.jpg
 
Hyo mwenye kifuko cheupe amevaa
Shati jeupe anazuga au

Ova
 
Kwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....

CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
kama ushimen hajachangia lolote huu uzi ufutwe
 
Mie jana nilikua mjini singida kwenye club Serengeti, aisee pale ni kiboko papuchi nje nje kama gulio vile [emoji851][emoji851]. leo naendelea na safari nicheki viwanja vingine ndani ya Mwanza.
Angalizo, ulabu usihusishwe na hayo mambo yenu. Wala ulabu wapo babu, bibi, shangazi na wengine. Sawa. Natoa hoja.
 
Jumamosi ilopita Samaki samaki mlimani siti nililewa konyaji bapa nne nikaingia kwenye gari funga milango yote na kulala. Nikamsahau shemeji yenu Movie. Saa kumi na moja naamshwa na walinzi kucheki simu missed called 10 za Mchumba. Ilibidi arudi kwao na dala dala. Sasa nipo napiga nyeto. Konyagi imefanya nimeachwa!
 
Juzi kati nilikua kijiji nakula egle zile ndogo na Chalii yangu tukalewa sasa nikawa nataka kuongeza!
Wakasema bia na mbege zimeisha nikauliza kuna nini?
Wakasema zipo banana za mbundi
Chalii yangu akadai leta hizo hizi 6 tuwekee kwenye chubuku

Ikaletwa babu!!
Inafoka kwenye jagi,kupiga nguchu mbili nilihisi machozi yanalengalenga
Tulivyomaliza tuko tusu ukiangalia TV unaona ziko 2

Nilishindwa kurudi town sikuile

Banana Kali aisee
 
Jumamosi ilopita Samaki samaki mlimani siti nililewa konyaji bapa nne nikaingia kwenye gari funga milango yote na kulala. Nikamsahau shemeji yenu Movie. Saa kumi na moja naamshwa na walinzi kucheki simu missed called 10 za Mchumba. Ilibidi arudi kwao na dala dala. Sasa nipo napiga nyeto. Konyagi imefanya nimeachwa!
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji115][emoji115][emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom