Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hyo mwenye kifuko cheupe amevaa
Shati jeupe anazuga au

Ova
 
kama ushimen hajachangia lolote huu uzi ufutwe
 
Mie jana nilikua mjini singida kwenye club Serengeti, aisee pale ni kiboko papuchi nje nje kama gulio vile [emoji851][emoji851]. leo naendelea na safari nicheki viwanja vingine ndani ya Mwanza.
Angalizo, ulabu usihusishwe na hayo mambo yenu. Wala ulabu wapo babu, bibi, shangazi na wengine. Sawa. Natoa hoja.
 
Jumamosi ilopita Samaki samaki mlimani siti nililewa konyaji bapa nne nikaingia kwenye gari funga milango yote na kulala. Nikamsahau shemeji yenu Movie. Saa kumi na moja naamshwa na walinzi kucheki simu missed called 10 za Mchumba. Ilibidi arudi kwao na dala dala. Sasa nipo napiga nyeto. Konyagi imefanya nimeachwa!
 
Juzi kati nilikua kijiji nakula egle zile ndogo na Chalii yangu tukalewa sasa nikawa nataka kuongeza!
Wakasema bia na mbege zimeisha nikauliza kuna nini?
Wakasema zipo banana za mbundi
Chalii yangu akadai leta hizo hizi 6 tuwekee kwenye chubuku

Ikaletwa babu!!
Inafoka kwenye jagi,kupiga nguchu mbili nilihisi machozi yanalengalenga
Tulivyomaliza tuko tusu ukiangalia TV unaona ziko 2

Nilishindwa kurudi town sikuile

Banana Kali aisee
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji115][emoji115][emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…