Hapa Hawaii hyu muuza karanga simuelewi kabisa[emoji23] anazuga au[emoji30][emoji30][emoji848][emoji115][emoji115][emoji115]
Hivyo vifurushi lazima uvisahau
Baba niko makini sana [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivyo vifurushi lazima uvisahau
kama ushimen hajachangia lolote huu uzi ufutweKwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Onja kuna madini mule ukue kiakiliYan bia walai cjui INA mini.mungu azidi kuilehemu idumu daima
Sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]takuambia kule
Angalizo, ulabu usihusishwe na hayo mambo yenu. Wala ulabu wapo babu, bibi, shangazi na wengine. Sawa. Natoa hoja.Mie jana nilikua mjini singida kwenye club Serengeti, aisee pale ni kiboko papuchi nje nje kama gulio vile [emoji851][emoji851]. leo naendelea na safari nicheki viwanja vingine ndani ya Mwanza.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji115][emoji115][emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jumamosi ilopita Samaki samaki mlimani siti nililewa konyaji bapa nne nikaingia kwenye gari funga milango yote na kulala. Nikamsahau shemeji yenu Movie. Saa kumi na moja naamshwa na walinzi kucheki simu missed called 10 za Mchumba. Ilibidi arudi kwao na dala dala. Sasa nipo napiga nyeto. Konyagi imefanya nimeachwa!