Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

kiongonzi nikupa tu like yangu sio kwamba nimependa ulivyosema afya ya akili na vinginevyo hapana binafsi napenda napenda muda wote niwe high kwenye kilevi chochote ila sio coke maana bila ile naweza pasua kichwa.
Haina noma !
 
Hii mada yako inanisababishia matatizo nilikua sina mpango wa kunywa mida hii sasa nilikua nasafari kwenda kusalimia jamaa zangu matokeo yake miguu haitaki kuelekea mbele nilipokusudia, yenyewe inapindia kulia tu nimeangalia inapotaka kuelekea naona kuna nyumba ina utambulisho wa bar na nyama choma [emoji849][emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nmecheka sana kaka zionist, inabid nikutafute nkupige bapa la haja
 
Leo nagonga hivi vitu ,safari na kipozeo ,toka mji A to mji B
IMG_20180916_002716.jpg
 
Uwe na moyo wa huruma kwetu tuliokitafuta kifo kwa hiari utoe tu mkuu.
Nimekumbuka supu niliyokunywa haikua na nguvu ngoja niagize kitimoto nitakukaribisha kama tukiwa wachache tukiongezeka sikukaribishi upambane na hali yako.
Namkaribisha tu dada na kaka NAHUJA na Mshana Jr bila kumsahau Asprin .
Umebarikiwa sana. Nipe location haraka sana
 
Back
Top Bottom