Ulikua una andaa bomu
Hiyo pombe ya pemben na dompo inaitwaje. Volume yake jeMkuu niko Tabata moja... Nimefurahi kuonana naweView attachment 867104
Haina noma !kiongonzi nikupa tu like yangu sio kwamba nimependa ulivyosema afya ya akili na vinginevyo hapana binafsi napenda napenda muda wote niwe high kwenye kilevi chochote ila sio coke maana bila ile naweza pasua kichwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nmecheka sana kaka zionist, inabid nikutafute nkupige bapa la hajaHii mada yako inanisababishia matatizo nilikua sina mpango wa kunywa mida hii sasa nilikua nasafari kwenda kusalimia jamaa zangu matokeo yake miguu haitaki kuelekea mbele nilipokusudia, yenyewe inapindia kulia tu nimeangalia inapotaka kuelekea naona kuna nyumba ina utambulisho wa bar na nyama choma [emoji849][emoji849]
Afu nijinyee... Mkuu hunipendi!Anza na Ze bingwa
umetoka simiyu lini mkuuItakuwa ina harufu nzuri anapelekewa Mzigua90: kwenye show ya Bella
View attachment 867576Mimi ni nani bwana mpaka nipingane na andiko lako..
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli papupi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo nagonga hivi vitu ,safari na kipozeo ,toka mji A to mji B View attachment 867662
Umebarikiwa sana. Nipe location haraka sana
Kyaaaa inapatikana maeneo gani nionje test yake bwana, inaonekana inawahi kuchanganya balaaVolume 56.. Tunaita makinikia [emoji23]
Poa poa ntakuchekSupplier mimi tuwasiliane
Line njema Sanasamb.....View attachment 867576Mimi ni nani bwana mpaka nipingane na andiko lako..