Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

kiongonzi nikupa tu like yangu sio kwamba nimependa ulivyosema afya ya akili na vinginevyo hapana binafsi napenda napenda muda wote niwe high kwenye kilevi chochote ila sio coke maana bila ile naweza pasua kichwa.
Haina noma !
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nmecheka sana kaka zionist, inabid nikutafute nkupige bapa la haja
 
Umebarikiwa sana. Nipe location haraka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…