captain sparrow339
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 288
- 354
Mate.....Ulikua una andaa bomu
Bila mchanyamno najiibia maana kichwa kikavu mnoUlikua una andaa bomu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hakisikii kabisa, nlikua nayo hiyo bila mixer ntamaliza cret, sasa siku moja nlikua babati s nkakutana na eagle! Nkawa napiga mixer eagle, k vant nkaja kumix na nyagi. Weeee siji isahau hile siku asubuhi niliokoka kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]Bila mchanyamno najiibia maana kichwa kikavu mno
Jana umezima na Leo unataka uzime tena?Jumapili hyo network ina search bado sijui itangukia wapi!
Ila tungi la jna sijui tulipoteana vp na washkaji
Maana kwenye pombe watu hatuagani![emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Asante sana sana agiza 3bila zinazotoa jasho kwa bili yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo hapo mkuu, nime assist[emoji23] View attachment 867793
Hakika mkuu siunajua lazima leo iitambue jana ilikuaje.Naona walipa kodi wanafufuka mmojammoja
[emoji3][emoji3][emoji3] subiri kwanza nisikilizie mzigo wa janaAsante sana sana agiza 3bila zinazotoa jasho kwa bili yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama Kawa siku zima ila mwili unadai[emoji23]Jana umezima na Leo unataka uzime tena?
Safi sana mdau unawakilishaOoh dear gambe... Will you ever abandon me? [emoji7][emoji173]Me I will never View attachment 867818
Sogea mpaka kitwe hapo au chingolaLeo ugimbi unanyweka Zambie ,chilabobwe