Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Jumapili hyo network ina search bado sijui itangukia wapi!
Ila tungi la jna sijui tulipoteana vp na washkaji
Maana kwenye pombe watu hatuagani![emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
Bila mchanyamno najiibia maana kichwa kikavu mno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hakisikii kabisa, nlikua nayo hiyo bila mixer ntamaliza cret, sasa siku moja nlikua babati s nkakutana na eagle! Nkawa napiga mixer eagle, k vant nkaja kumix na nyagi. Weeee siji isahau hile siku asubuhi niliokoka kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jumapili hyo network ina search bado sijui itangukia wapi!
Ila tungi la jna sijui tulipoteana vp na washkaji
Maana kwenye pombe watu hatuagani![emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi mumu una picha ya yule mjamaa aliyelikodolea macho jibapa?
Huyo hapo mkuu, nime assist[emoji23]
89caa945c9a5de17c29c0931bf84599d.jpg
 
Asubuhi ukipata supu ya mbuzi na Mapande hapa kwa morombo
Baada ya nusu saa ukashushia na virikuu vya safari viwili
J pili inapendeza
 
Back
Top Bottom