Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Huku kolomije zinaitwa raha banana zinatoka arusha njiro.mbuna mbundi anauzia hasa moshi arusha
 
Kweli babaako yaani ukiwa na buku mbili tayari uko yechu yechu ushapendezaaaa
Mi buku mbili kirikuu kimoja sisikii kitu labda virikuu saba ndio naanza kutoa lokuπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ˜‚πŸ™Œ
Ashee mm nipo dar inauzwa 800.nikiwa na 5000 napata na ya fegi eroo
 
Kweli babaako yaani ukiwa na buku mbili tayari uko yechu yechu ushapendezaaaa
Mi buku mbili kirikuu kimoja sisikii kitu labda virikuu saba ndio naanza kutoa lokuπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ˜‚πŸ™Œ
Ashee mm nipo dar inauzwa 800.nikiwa na 5000 napata na ya fegi eroo
 
Duh,kwa hiyo sasa hivi jamaa wa masanga watakua na fulsa ya kuleta malalamiko yao hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…