machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Unaeza piga ngapi mkuuViroba vilivyokimbizwa nikahamia huku rasmi.hata niwe na laki mfukoni utanikuta na banana ya moto pembeni huku nasikiliza dance la fally ipupa-associe
Braza hii kitu inapatikana wapi?inaonekana tamu sanaMade of gold bars & enzymes View attachment 867853
Kk nikiwa nimeshiba vzr napiga tano naenda kulala.bonge la usingiziUnaeza piga ngapi mkuu
Kk nikiwa nimeshiba vzr napiga tano naenda kulala.bonge la usingiziUnaeza piga ngapi mkuu
Moto wa nini mkuuraha ya vodka bwana... ina moto sio wa kawaida!
...dah... tuyaache hayaMoto wa nini mkuu
Hahahahaha karibu Absolute...dah... tuyaache haya
Moto wa nini mkuu
Kweli babaako yaani ukiwa na buku mbili tayari uko yechu yechu ushapendezaaaaKk nikiwa nimeshiba vzr napiga tano naenda kulala.bonge la usingizi
asante sana... hapo unapiga shem yupo pembeni!aaaahHahahahaha karibu Absolute
Tegeta kwa ndevu mi natuliaga hapo pk nagonga kongoro namimina kilauriInaunguza maini dada yangu,na inaleta hamasa ya sex.ila tumia banana iko poa karibu magoma moto club tegeta kwa ndevu
Ashee mm nipo dar inauzwa 800.nikiwa na 5000 napata na ya fegi erooKweli babaako yaani ukiwa na buku mbili tayari uko yechu yechu ushapendezaaaa
Mi buku mbili kirikuu kimoja sisikii kitu labda virikuu saba ndio naanza kutoa lokuππππ
Ashee mm nipo dar inauzwa 800.nikiwa na 5000 napata na ya fegi erooKweli babaako yaani ukiwa na buku mbili tayari uko yechu yechu ushapendezaaaa
Mi buku mbili kirikuu kimoja sisikii kitu labda virikuu saba ndio naanza kutoa lokuππππ
Duh,kwa hiyo sasa hivi jamaa wa masanga watakua na fulsa ya kuleta malalamiko yao hapaKwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Huku chuga ni jero jero jomba ukiwa na kaki unatambaaAshee mm nipo dar inauzwa 800.nikiwa na 5000 napata na ya fegi eroo