[emoji115][emoji115][emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji87][emoji87][emoji87][emoji85][emoji85][emoji85][emoji86]
inategemea uwezo wa injini yako. wengine mbili tu, wengine mpaka kreti tatu.... [emoji12][emoji12]
Mfano Miss Natafuta ukimuonyesha hela anakata kreti mbili na nusu.... [emoji125][emoji125][emoji125]
Sasa balaa ni pale inatokea umetembea na ATM kadi mfukoni, unaweza kwenda kupigana na watu wa benki siku inayofuata.. [emoji23][emoji23][emoji23]Hatare sana Miss Natafuta mm kwa wastani huwa ni beer 5. sasa ikitokea nikazidi hapo inakuwa balaa naweza fika hadi kreti alafu zinaamia chini alafu naanza kutoa offer kwa mwanamke atakaye nivutia.
ukiona nyuzi kama hizo ni kwamba wameshindwa kuandika kuuliza: jamani mnapatapataje hizo hela za kugongea ulabu....?[emoji851][emoji851][emoji851]Alafu toka uzi huu uwekwe hewani na sisi wapenda kilaji ku share kwa nguvu zote.... mambo yetu humu ndani........tumezaliwa tunyuzi twingine....twa ajabu........ (miscellaneous)....mara eti.... oo uzi wa wanywa juice soda...na kuna kauzi kengine nimekaona leo ....ooh pombe inagombanisha familia....so pathetic
Sasa balaa ni pale inatokea umetembea na ATM kadi mfukoni, unaweza kwenda kupigana na watu wa benki siku inayofuata.. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukianza kwenda bar, hakikisha unamkabidhi mkeo ATM kadi na simu zako zote halafu mwambie aende kusalimia popote ila asikwambie anapoenda,Hahahahahahahahaha, unanishauri nini?
Ukianza kwenda bar, hakikisha unamkabidhi mkeo ATM kadi na simu zako zote halafu mwambie aende kusalimia popote ila asikwambie anapoenda,
Muhimu asiwe anajua namba za siri za ATM kadi vinginevyo mtakutana viwanja na yeye kakusanya vijeba anazungusha raundi [emoji851][emoji851][emoji851]
Tupo kabisa vipi mzima wewe?.Wadau mpo
Angalia sio ushauri wote wa kuufuata.Hahahahahahahahaha, unanishauri nini?
Ukianza kwenda bar, hakikisha unamkabidhi mkeo ATM kadi na simu zako zote halafu mwambie aende kusalimia popote ila asikwambie anapoenda,
Muhimu asiwe anajua namba za siri za ATM kadi vinginevyo mtakutana viwanja na yeye kakusanya vijeba anazungusha raundi [emoji851][emoji851][emoji851]
Tupo kabisa vipi mzima wewe?.
Hapa natafakari niweke limao au niache. Nina hasira kisichana kimemwagika.View attachment 869851
[emoji125][emoji125][emoji125]Bank sasa tumezihamishia kwenye tekno zetu kupona ni nidhamu yako.
Jiwekee utaratibu usje kuitwa mlevi mkuu.Pombe kali kwangu nikinywa, baadae nakunywa beer zisizo na idadi!
Napeleka mswada bungeni soda zipigwe ban, na bunge kwa mwendo wa ndiyoooooo itapitishwa.Bado tupo imara na soda zetu.
Nawewe umezipata hizo habari?, dawa ni kuuza vimotokaa vyetu tuone watapima watembea kwa miguu au?.Ukisikia u-snitch first class ndio huu yaani TBL wanatuuzia bia afu wanaenda kuwapa polisi vipima pombe ili iweje sasa jamani? [emoji38][emoji38][emoji38]