Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hii ina maanisha sio baba wa familia ni ka-teenager flani hivi ha ha ha!Mababa wa familia lazima uhakikishe unaimalizia pale pale kaunta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii thread haituhusu watumishi wa Mungu.

Naikemea ikapate kushindwa na kulegea kama mlevi wa gongo iliyochanganywa na mnazi.
 
Hii thread haituhusu watumishi wa Mungu.

Naikemea ikapate kushindwa na kulegea kama mlevi wa gongo iliyochanganywa na mnazi.
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji15][emoji15][emoji15][emoji35][emoji115][emoji115][emoji114][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtumishi baba paroko Asprin[emoji30][emoji30][emoji30]cc: dadaangu
 
Hii thread haituhusu watumishi wa Mungu.

Naikemea ikapate kushindwa na kulegea kama mlevi wa gongo iliyochanganywa na mnazi.
Mtumishi gani uloninyanganya manzi Wanguuu??? We zeee me nakulia timing ndo utajua we ni Aspirin au Panadol dadekiiiii
Labda ni mtumishi wa shetani au wale wa kunjunga
Bwana Yesu aligeuza maji kuwa mvinyo ulio bora wa kujaa mabalasi sita... Kila balasi moja ni sawa na Lita 300
Vilevile neno linasema mpe masikini POMBE, anywe! Alewe! Asahau shida zake! (Kumbuka ni MASKINI sio KICHAA)
Zaidi mabinti wa Lutu walipoona wanazeeka na baba jua linamchwea wakatengeneza mvinyo MKALI wakampa mzee baba POMBE akanywa akalewa zikashuka bondeni, nao wakanywa halafu hasi na chanya zikakutana... [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtumishi Asprin hayajui haya[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…