Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Kabla ya kufika kwa mama chanja, tunazimua
wazee_wa_kulamba-20180911-0001.jpg
 
@Shunie namtamani kishenzi sema nyagi zishaunguza mbavu, maini yashaiva kasoro ni chumvi tu plus kibamia makofi nayaona njenjenje.

Mzee na uzee wangu kupigwa na watoto nani anataka?!?! Au niache raaana
Kama una mahela mengii naanzia wapi kukupiga shunie mm jamani
 
Nimeimiss mimi sema naumwa kiduchu jumamosi lazima nizipige babe
Woouzzzeeerrrr babe niko pale eneo letu nakata kiu..nilikuwa na kiu mm loh...leo najiona kabisaa ntakavyo lala na viatu
 
Back
Top Bottom