Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisimko hii mbele ya royal bar woiiiTukutane Sisimko
Ndo kwanza kumekucha hapa hadi saa tatu ndo naenda home
Kama una mahela mengii naanzia wapi kukupiga shunie mm jamani@Shunie namtamani kishenzi sema nyagi zishaunguza mbavu, maini yashaiva kasoro ni chumvi tu plus kibamia makofi nayaona njenjenje.
Mzee na uzee wangu kupigwa na watoto nani anataka?!?! Au niache raaana
Wanawake wenyewe sisi dear gambe,.Wanawake
SafiBaada ya safari ndefu na ya kibabe ya jana,leo napoza engine na kili bardiiii.
NOTE
karanga hazihusiani na chochote.View attachment 864393
Babe wangu jamaniii...😘Mfyuuuu
Tunaongeza pato la taifa mkuu.Safi
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimeupenda huu uzi babe uwe endelevuBabe wangu jamaniii...[emoji8]
Woouzzzeeerrrr babe niko pale eneo letu nakata kiu..nilikuwa na kiu mm loh...leo najiona kabisaa ntakavyo lala na viatu
Woouzzzeeerrrr babe niko pale eneo letu nakata kiu..nilikuwa na kiu mm loh...leo najiona kabisaa ntakavyo lala na viatu
Huu Uzi mtam zaidi ya ule wa makapuku babe..😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimeupenda huu uzi babe uwe endelevu
Ohooo fanya upone kesho babe wangu pulizzzzzNimeimiss mimi sema naumwa kiduchu jumamosi lazima nizipige babe
Tu nachangia pato la maendeleo wa LeviTunaongeza pato la taifa mkuu.