Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua kila penye msafara wa mamba kenge hawakosekaniKaliba imevamiwa na wale madomo zege na wenye nia ovu ukizubaa tu unachanganyiwa "vitu visivyojulikana" kwenye kinywaji chako. Otherwise kwenye viwanja vyetu ni full drama tena zile real nenda the great Tabata full drama 😀😀
😀😀😀Dah hilo chocho lina gesti fulani hivi na take away za kutosha[emoji23][emoji23]
Chupa zote hizo No kitambi ??? Kweli soda hasara tupu,. Hebu geuza hizo chupa zingekuwa Castle larger,. Unadhani aliyekaa hapo pembeni angefananaje. Pata picha. Jamaa anatanana na kinywaji anachokunywa. Hasara hiiHizi ndio picha za ule uzi wao kule CC : strokeView attachment 864642
😳 😛 😳 Huyo hata akitoka jasho linanuka coca[emoji23][emoji23][emoji23]Chupa zote hizo No kitambi ??? Kweli soda hasara tupu,. Hebu geuza hizo chupa zingekuwa Castle larger,. Unadhani aliyekaa hapo pembeni angefananaje. Pata picha. Jamaa anatanana na kinywaji anachokunywa. Hasara hii
Huyu kaweka mikono kichwani wakati bill haimuhusu, au kaambiwa Kuna kuchangia
Kiu haijakushika ghafla mkuu? Maana ukisoma comments chache tu za huu uzi utatamani utoke ukasuuze koo kidogoHuu Uzi mtam hatari,nimeuona muda huu na nimesoma comments zote bila kuruka hata moja