Jioni hakuna shida kimbembe saaa tatu kuendelea utasikia una bill ya bluce Lee wakati haujalaMara nyingi pale nakuaga mchana , usiku nahamia Governor
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jioni hakuna shida kimbembe saaa tatu kuendelea utasikia una bill ya bluce Lee wakati haujalaMara nyingi pale nakuaga mchana , usiku nahamia Governor
Naona Mzee upo Kilingeni Msata
Dawa ya moto ni moto wanadhani tunaokota pesa Bora kwa mangi ten umeshawaka safari kubwa tano baridi ushanyookaUnajilipa kwa staili hyo[emoji23] [emoji23]
Ova
Zaidi usiku nitakuwa upande ule wa samaki , napiga msosi naendelea na mishe nyngneJioni hakuna shida kimbembe saaa tatu kuendelea utasikia una bill ya bluce Lee wakati haujala
Kwa mangi hata budget inakuwa ndg ya matumizi ila mkiwa mob bar mmekaa lazima uchomekeweDawa ya moto ni moto wanadhani tunaokota pesa Bora kwa mangi ten umeshawaka safari kubwa tano baridi ushanyooka
Halafu Na simu anakupigia mbona sikuoni siku hizi hadi raha[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kwa mangi hata budget inakuwa ndg ya matumizi ila mkiwa mob bar mmekaa lazima uchomekewe
Ova
Hahahaa kumbe wewe upo kama Mimi,nikidhulumiwa na Muhudumu lazima nirudi tena kumfanyia janga kubwa kuliko lake.Nlichomekawaga na mhudumu mmoja 4ways Kinondoni kuna siku nlirudi ple nkanywa bia kma 7 nkazuga nakwenda toilet ilikuwa kimoja nlimwachia msala
Ova
Governor wako vzuri naona anamkimbiza 4ways [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dah jumamosi tukutane hapo
Sure sure hata wale maduu wa defrance wakiona Kama umemkoloea anakunyoosha aiseeShikamooo pesa napo walikuwa wachomekeaji kichzi
Ova
NawarudiagaHahahaa kumbe wewe upo kama Mimi,nikidhulumiwa na Muhudumu lazima nirudi tena kumfanyia janga kubwa kuliko lake.
Jikoni wanatamaa sana bei zao kama kempiskyYeah japo jikoni wanachomekea bili ngoja nitaweka ushahidi
Kuna jamaa zangu umri umekwenda wanapapenda hapo Governor , hawataki kupasikia 4 waysGovernor wako vzuri naona anamkimbiza 4ways [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
Hahaha,usikariri kijana[emoji41] Bia gani hii? Dah tutakuja kunywa na mikojo ya punda khaaaa
Pole mshana Ila kez pub kimara Kona Bora ilikufa wanachomeka Bill,wanakupa valium wakuiibie,mabaunsa ndo wezi ,boss mkorofi Ile bar Kama uko Juarez MexicoYeah japo jikoni wanachomekea bili ngoja nitaweka ushahidi
4ways parking shida alafu sehemu ndgKuna jamaa zangu umri umekwenda wanapapenda hapo Governor , hawataki kupasikia 4 ways
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]D
Daah kuna wale wenzangu unakutana na wa hivi ukishalewa sasa!!
View attachment 865373View attachment 865374
Unamuona hivi
View attachment 865377[emoji699]
Bluce Lee ndio nn?Jioni hakuna shida kimbembe saaa tatu kuendelea utasikia una bill ya bluce Lee wakati haujala
kiduka cha mangi kwa shayo ,hkn haya mamboHahahaa kumbe wewe upo kama Mimi,nikidhulumiwa na Muhudumu lazima nirudi tena kumfanyia janga kubwa kuliko lake.
Ni msosi una hilo jina mkuuBluce Lee ndio nn?kiduka cha mangi kwa shayo ,hkn haya mambo