Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Karibu mkuu tujenge nchi mm nipo mpaka j5 ijayo,itabidi wakati wa kurudi nipite hapo Singida kufanya utalii wa ndani
Pale ni noma, ukifika singida pitia hapo halafu utaleta mrejesho hapa...!! nilibeba demu begani baada ya kuzima.. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimekutana na Mshana tumeachana sasa hivi anasema msimuache huko
Hawaii kimara baruti moja

Ova
20180915_143127.jpg
 
Hii mada yako inanisababishia matatizo nilikua sina mpango wa kunywa mida hii sasa nilikua nasafari kwenda kusalimia jamaa zangu matokeo yake miguu haitaki kuelekea mbele nilipokusudia, yenyewe inapindia kulia tu nimeangalia inapotaka kuelekea naona kuna nyumba ina utambulisho wa bar na nyama choma [emoji849][emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115]njoo Kibara pub njia ya songas
 
Back
Top Bottom