Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hahaha ,tisha sana
Katika ya kama unaenda chingola kuna kamji kanaitwa musenga nlikuwa naendaga kupiga chicha hko hku tunavizia skrepa kukata Nna Wana wengi sana hapo
Walikuwa wanasema Nyie wa tz wajanjajanja sana [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Katika ya kama unaenda chingola kuna kamji kanaitwa musenga nlikuwa naendaga kupiga chicha hko hku tunavizia skrepa kukata Nna Wana wengi sana hapo
Walikuwa wanasema Nyie wa tz wajanjajanja sana [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
Hahaha nimeingia Jana hapa jioni narudi Lubumbashi ,wabongo kila sehemu sifa kuu ujanja ujanja
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nishamuita bodaboda avitangulize nyumban vitabu vya dini nilivyotoka navyo kanisani
[emoji30][emoji30][emoji30][emoji848][emoji848][emoji848][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji144]
 
Bado naipigia mahesabu...
IMG_20180916_110548_5.jpg
 
Katika ya kama unaenda chingola kuna kamji kanaitwa musenga nlikuwa naendaga kupiga chicha hko hku tunavizia skrepa kukata Nna Wana wengi sana hapo
Walikuwa wanasema Nyie wa tz wajanjajanja sana [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
Nikitulia nitaweka picha uone timbwili lake la ugimbi niko na wacongole,wazambie kuna ishu naitaka toka kwako sasa toka Jana nawapa ugimbi wafunguke vzr
 
Namkumbuka sana huyu MTU pombe ikipanda kichwani abambia kitu, mwisho ananalizia " in vino veritas"
 
Back
Top Bottom